Tip:
Highlight text to annotate it
X
Unajua,tunazungumzia umilele kuwa jambo lisiloeleweka na mwanadamu na ni kweli.
Ukiangalia mbingu tunayoiona,mtu anaweza hata kuwa wazimu akitafakari astronmia
Ukitafakari ukuu na utata wa yote yanayokuzingira
Ukienda angani, mbingu inaendelea na kuendelea...
Maelfu na maelfu ya miaka ukiendelea zaidi angani
Lakini Christo,yule aliyekufa,aliyeosha miguu ya wanafunzi wake,
ndiye aliyeumba haya na kuyashikilia hadi leo
Kama ulimwengu wote ni super kompyuta
computer inayotoshana na ulimwengu haiwezi kusitiri utata wa ulimwengu,hata kuuelewa.
ni ajabu sana,
na huyu ndiye aliyezaliwa horini
Yesu kweli anahitaji kuabudiwa na binadamu?
Unafikiri angekuwa mpweke kama sisi sote tungemkataa?
Ingekuwa hasara kubwa kwake?
Anadunia zisizohesabika.
Mtoto wangu Evan,siku mbili zilizopita alianza kulia.
Akasema"nataka kumtembelea bibi.
Bibi ni mama yangu,
na nikwamwambia"Evan,unajua kuwa alikufa na yuko mbinguni."
Evan akauliza"anafurahia?"
"Ndio,tena sana"
"lakini,anafanya nini huko?"
sasa,tuliketi chini na kuanza kufikiri mambo kadhaa pengine anafanya.
Wacha nikuulize.
Unashangaa ya kutosha?
Unashangazwa na chochote?
Kuna ajabu yoyote?
Umeacha kuketi na kutafakari nini kilicho huko juu?
Hauketi tena na kutafakari nini kinakusubri?
Unashangaa eti aliumba ulimwengu?
Eti aliumba dunia?
Unafaa kushangaa!
Lakini kuna jambo kuu zaidi,
kuyaweka maajabu haya yakiendelea.
ni ya kustaajabisha!
Anausimamisha ulimwengu wote kila dakika
katika milele yote bila juhudi.
Na nirahisi kwake kama unyoya
Sasa hiyo ni nguvu.