Tip:
Highlight text to annotate it
X
蒼生主護庇 People Need the Lord WATU WANAMHITAJI BWANA
盡看蒼生感悲嘆 Everyday they pass me by Kila siku wananipita
落泊眼眸愁不散 I can see it in their eye Ninaona ndani ya macho Yao
幻化變遷皆空虛 Empty people filled with care Utupu wa kuhitaji huduma
尋覓倍愁煩 Headed who knows where Wakielekea kusikojulikana
渡過艱辛忍傷痛 On they go through private pain Wanapita tu na maumivu ya Siri
懼怕根深種 Living fear to fear Wanaishi hofu kwa hofu
悲歡交煎哀未平 Laughter hides their silent cries Vicheko vikificha vilio vya Siri
神願意傾聽 Only Jesus hears Ni Yesu tu ndie anayesikia
蒼生主護庇,去盡苦痛悲 People need the Lord, people need the Lord Watu wanamhitaji Bwana, watu wanamhitaji Bwana
夢斷淡忘既往,前路滿希冀 At the end of broken dreams, He's the open door Katika mwisho wa ndoto isiotimia, Yeye ni mlango wazi
蒼生主護庇,去盡苦痛悲 People need the Lord, people need the Lord Watu wanamhitaji Bwana, watu wanamhitaji Bwana
但願人人看見,主恩深銘記 When will we realize -- people need the Lord Ni lini tutatambua watu wanamhitaji Bwana
十架光輝照普世 We are called to take His light Tumeitwa tupokee mwanga wake
盡去歪謬求真諦 To a world where wrong seems right Katika dunia ambayo makosa yanaonekana haki
願獻出共勉努力 What would be too great a cost Ni nini kitakuwa cha dhamani
傳揚大愛基督救世 For sharing life with one who's lost Kwa kushiriki maisha na aliyepotea
藉救恩體恤苦困 Through His love our hearts can feel Kwa upendo wake mioyo yetu inasikia
負困厄同行 All the grief they bear Huzuni yote waliobeba
新生真理要傳播 They must hear the words of life Lazima wasikie neno la Uzima
神大愛分享 Only we can share Ndilo la kushirikiana
蒼生主護庇,去盡苦痛悲 People need the Lord, people need the Lord Watu wanamuhitaji Mungu, watu wanamuhitaji Bwana
夢斷淡忘既往,前路滿希冀 At the end of broken dreams, He's the open door Katika ndoto isiyotimia Yeye ni mlango ulio wazi
蒼生主護庇,去盡苦痛悲 People need the Lord, people need the Lord Watu wanamuhitaji Bwana, watu wanamuhitaji Bwana
但願人人看見,盡力為人貢獻 When will we realize that we must give our lives Ni lini tutatambua kwamba ni lazima tutoe maisha yetu
蒼生靠主護庇,人人願銘記 For people need the Lord, people need the Lord Kwa vile watu wanamuhitaji Bwana, watu wanamuhitaji Bwana