Tip:
Highlight text to annotate it
X
Hujambo, mimi ni Steve.
Nina miaka Ishirini na mitatu Mwanaharakati kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa
na mtetezi wa sera katika jumuia ya mataifa.
Nilikuja Canada Nikiwa kwa muhula wa pili daraja la tisa(9)
kwa hakika sikukuwa na marafiki kwa wakati huo
na huyu jamaa mmoja akanijia na kuniambia
je, wataka kujiunga kwenye mashindano ya UNICEF kwenda kwenye kongamano la mataifa nane bora duniani
nilifikiria oh! kwamba sikuwa na marafiki
na nilisikia kwamba huyu jamaa ni mwerevu mno
sasa nilitaka kujihusisha na yeye kila mahali
nikasema kwa hakika nitajiunga kwenye mradi
na jambo moja kwa jingine,
nikakuwa mwakilishi wa vijana wa nchi ya Canada kwenye kongamano la mataifa nane bora duniani mwaka wa 2009.
na mojawapo ya swala kuu kuzungumziwa kwa wakati huo ilikuwa mabadiliko ya hali ya hewa at the time was climate change.
nilirejea kutoka kwenye kongamano na ufahamu zaidi kuhusu ukweli wa migogoro ya hali ya hewa
kwa kuwa lilikuwa ni swala la dharura na swala tata.
nikafanya utafiti na kujifuza mengi kulihusu
na nilipo soma zaidi kuhusu jambo hili nipata hamu ya kuwajusisha marafriki wenzangu
kwasababu wanafaa kujua kuhusu jambo hili kwa hakika.
nikaanza kutembelea shule za msingi na shule za upili
kuwajuza kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa
tajiriba yangu kupitia UNICEF na kongama la mataifa nane bora.
tajiriba hiyo ikanifunguliaa milango ya kuwa mtetezi wa sera
na nikajihusisha kisiasa
michache baadaye 2012
kukakuwa na mkutano wa jumuia ya mataifa Rio+20 kuhusu maendeleo
uluyofanyika mjini Rio de Janeiro Brazil
nilielekea huko nikifikiri oh! nitapanda ndege kuelekea nchi nyingine
hiyo ni raha iliyoje!?
kulikuwa na watu wengi, mashirika yasiyo ya kiserikali, wanaharakati na waliojitolea
waliyotaka hatua kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa kwa maendeleo ya maisha baadaye.
Hapo ndipo nilijua kuwa nimekuwa niki paa kwa ndege kila mahali nikifanya kila aina ya kazi za sera
kwa sababu nilijitukuza sio kwa maana lilikua ni jambo zuri tu.
ningeweza kuchangia kutatua shida.
nakumbuka nikiwa nimeketi kwenya uwanja wa ndege nikirejea Canada
nikilia machozi ya furaha huku nikikumbuka kwama nimechangia kupata suluhisho la jambo hili
ni nini cha maana nifanya hapa na nini cha maana ningefanya
jambo nzuri ambalo nafurahia kufanya ni kuwashirikisha marafiki wenzangu kuhusu jambo hili.
unajua, kuzungumuza na marafiki wangu kutuka shule ya ya upipili na vyuo vikuu
na kuwafanya wajuwe ukweli kuhusu mabadiliko ya hewa
vile pamoja tunaweza kutatua tatizo hili kwa ufanisi mitaani
kwa sababu mabadiliko ya kweli huanzia kwa mtu baada ya mwingine kama mimi na wewe tunavyo zungumza sasa hivi
from famikutoka kwa familia, kutoka kwa jamii hapo ndipo mabadiliko ya kweli yanatokea.
jambo hili ndili ambalo sikughusia.
jambo hilo kwa kweli ndili lililonifanya kutunza mabadiliko ya hali ya hewa.
na kuleta suluhisho kutoka chini kutoka kwa jamii.
Rio+20, wakati watengezaji sera walipo juika pamoja
ilikuwa ni sherehe ya Ishirini(20th) ya maadhimisho ya kongamano la dunia mwaka wa 1992.
walijilaumu kwa kuto weka kipa umbele uwekezaji kwa vijana
Masomo kwa vijana mwaka wa 1992 kwa sabababu lilikuwa ni jambo la dharura
ilikuwa kali ndiyo tunapaswa kutatua sasa hivi.
lakini miaka ishirini(20) baadaye Rio+20 mwaka 2012,
walisema kama tungewekeza kwa vijana miaka ishirini(20) ilyopita
janga hili halingekua kubwa sasa hivi.
hilo ndilo lililoyafumbua macho yangu kuona umuhimu
na umuhimu wa kuwashirisha vijana na kuwekeza fedha kwa vijana kwa maisha mazuri ya baadaye
ndiyo tuweze kuwajenga viongozi hivi leo.