Tip:
Highlight text to annotate it
X
onyesho hili inachukua kama dakika tano
na ufuate kila hatua tunayo chukua
Kabla kuanza ni bora ujue kuwa tai yako Iko na sehemu nyebamba mwisho na sehemu nono Mwisho
Uamuzi wako wa kwanza ni sehemu ipi ya mwili Utaweka mwisho wa kila upande.
Haijalishi sehemu gani tai yako itaelekea, Haita badili hali ya kufunga tai
Nimetuma uso wa kioo wa video huu kama itakupendeza
Sio tu tai lako uko mwisho mbili, Pia uko na mwisho mbili tofauti
Sehemu ya uso ni laini pamoja na Sehemu ya gongo
iko nyuma
Tunaenda kuanza sehemu ya gongo ikiwa chini Kwahivyo chukua tai lako
sehemu ya gongo ikiwa chini, sungusha tai shingoni mwako
Lainisha juu ya mwili wako, tena gongo likiwa chini
Hapa ndipo tunabadili urefu. Wewe futa sehemu Iliyo nono ili mwisho ulio nyembamba
iwe karibu na ubafu. Sasa kuchagua urefu ndio hatua ilio ngumu sana, ni
hatua mihuimu, lakini hali ya sehemu hii ni kujaribu tu kufunga
Tai vizuri, kwa hivyo tuta ruka hapa. Tutarudia baadaye
sasa tutachukua mwisho na kufukisha juu ya mwisho nyebamba.
peleka nyebamba na juu peleka mwisho nono kufukisha juu ya mwisho nyebamba,
ukitengeneza alama ya “X”.
utaona kuwa niko kwa mkono moja nashika chini ya “X”
Kurahisisha hatua nitaenda kufanya kazi yote Kwa mkono moja na
mkono mwingine ukishika katikati ya “X”.
Katikati ya “X” inakua kifungo
kwahivyo sehemu inayo shika “X” nita kiita “kifungo mkono”
unataka kuwa “kifungo mkono” na ushike katikati ya “X”.
hakikisha umekamata vizuri na usiachilie
Lakini unaweza badilisha baadaye kama ni lazima
Sasa nafasi kati ya katikati ya “X” na Shingo lako
Ndio ninaita shimo la tai
ni shemu hii hapa
sasa kuna mahali nne tunaweza weka tai
tunaweza fanya tai itoke ndani ya shimo
tunaweza fanya tai ipite ndani ya shimo
tunaweza fanya tai ipite nyuma ya shimo
na tunaweza fanya tai ipite kando ya shimo
hatua ya kwanza ni kuchukua tai na kufanya ipite nje ya shimo
kwa hivyo chukua tai
na kufanya ipite nje ya shimo
nafanya hivyo kwa
kuweka mkono wangu mbele ya tai
halafu unafuta kabisa kuelekea ndani ya shimo
ukiwa umefika katikati unaweza tumia kifungo mkono ili kushika chini ya tai
unapotumia mkono wako unaofanya kazi
futa tai lingine lote lipite ndani
ukirukisha juu
na uashilie ianguke mbele yako
sasa tutachukua tai na kufanya ipite nyuma ya shimo
kwa hivyo endelea ukamate tai
futa juu ikielekea kando
halafu sukuma ielekee nyuma ya shimo
nita enda kuekelea begani mwangu ili upate kuona kwamba gongo hapa
sasa inatazama nje
pia gundua
ya kuwa sehemu hii inaonekana iko chini
sasa tunaweza chukua tai
na kufanya ipite ndani ya shimo
Nitaenda kushika chini
rukisha kando kisha sukuma ndani ya shimo
nikiwa nimefika katikati nitakamata na pinky yangu, sio lazima,
endelea mbele na ufute ilio baki ipite
tena, sasa rukisha ili sehemu ya gongo ionekane
shukuwa mtazamo wa kifungo hapa unaweza kumpa tai tag kidogo
mwisho wa kila hatua
hautija uwe unakasa sana na tena sio huru sana
hatuta chukua tai kupitisha kando ya shimo
kwa hivyo chukua tai, futa juu ya kando
kisha fanya ipita kando ya shimo
katika sehemu hii niko na tip kwako
kabla ya kupita kando ya shimo weka kidole chako hapa
tena nitawekelea tai begani langu ili uone
ili uso sasa inaonekana
hatua nyingine ni kuchukua tai na kufanya ipite nje ya shimo tena
tunapofanya hivyo inakaa kama tuna rukisha
kuchukua wakati ambao
unasukuma vidole vyako kusungusha na kupita
tena ukifanya tai ipite nje ya shimo
utaenda kurukisha juu ili tena uso unaonekana. Baadaye ni hapa
ndio utahitaji kubadili mikono
lakini sasa hautapata bahati ya tip nilio peana mwanzoni
kumaliza utachukua sehemu nono ya mwisho wa tai
na kuweka nyuma ya hatua ya kando
inaonekana ngumu kueleza mahali hiyo iko, ndio sababu nilikueleza uweke
kidole hapo, kwa hivyo chukua mwisho ulio nono
na kufanya ielekee mahali kidole chako kiko
tena natumia mkono moja hapa
lakini hapa itakua rahisi kukamata sehemu nono ya mwisho na hiyo
kidole moja hata hivyo uta jaribu kufuta mwisho ulio nono ipite na endelea uvute
mpaka kifungo ikase na hakikisha usifanye
mwisho nyebamba kuwa loose
unaweza finya chini kusaidia kutengeneza sura nzuri
kuvuta sehemu mbili za juu pia inasaidia
kukasa tai katika shingo lake kamata mwisho nyebamba na mkono moja na
chini ya kifungo na mkono mwingine
na sasa unafanya hali ya “vuta na kuteleza” mvuto katika mwisho ulio nyebamba
pitisha kifungo, futa, iteleze
tengeneza kidogo
hakikisha kila kitu inaonekana nzuri
na sasa unaweza rudisha collar yako chini
ni wakati huu pia utafunga funguo la juu
mpatie mkaso moja tena
na utakuwa umemaliza
sasa tunahitaji kuwa na urefu unaotakikana
na labda kuharakisha kidogo